Alhamisi, 20 Julai 2017
SHULE YA SEKONDARI YA MASUKANZI INATAFUTA WALIMU WA MASOMO YA
NAFASI ZA KAZI;
i. Kiswahili (4)
ii. English (2)
iii. Biology (3)
iv. Hisabati (2)
v. Historia (1)
vi. Chemistry (2)
Tuma maombi yako kwenye e-mail stinhanzi@gmail.com
Tuma kama una sifa hizo pamoja na
a. CV yako
b. Nakala za vyeti vyako
c. Barua ya maombi
Jumanne, 18 Julai 2017
NIMEZIPENDA HIZI Kauli 18 za mtu asiye na MALENGO wala UTHUBUTU
1)Sina mtaji
2)Sina Connection
3)Nitaanza rasmi kesho
4)Mimi ni wa hivihivi tu
5)Mifumo mibovu ya Serikali ndiyo inayonirudisha nyuma
6) Mke/mme/ndugu zangu Ndiyo walioniangusha/kunitenda/kikwazo
7)Kupata ni majaliwa
8)Usilazimishe mambo
9)Kuna watu special siyo mimi.
10)Sina bahati
11) kupata si uhodari nami nitapata tu.
12) Mimi ni fungu la kukosa tu.
13) muda wangu bado nitapata tu
14) mungu hajapanga hata vidole mkononi havilingani.
15) wapo waliopangiwa sisi wasindikizaji
16) Familia yetu hakuna tajiri nianze mimi?
17) hata wanaotafuta mbona wapo vilevile...fulani namjua mbona yupo tu kama mimi au namzidi.
18)Rais anabana sana
USIFUNGAMANE NA MTU WA AINA HII
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)
Matokeo kidato Cha pilibofya hapa
KUTAZAMA BOFYA HAPA <https://matokeo.necta.go.tz/ftna2020/ftna.htm>
-
Methali za kiswahili ---- Swahili proverbs 1. Adhabu ya kaburi aijua maiti, The touture of the grave is only known by the corpse 2. Akiba ha...
-
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU DAR ES SALAAM (DUCE) KITIVO CHA HUMANTIA NA SAYANSI YA JAMII IDARA YA LUGHA NA ISIMU JINA LA KOZI: ...
-
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU CHA DAR ES SALAAM (DUCE) KITIVO CHA HUMANITIA NA SAYANSI JAMII IDARA YA LUGHA YA KISWAHILI NA ISIMU KOZI: ...